Mr. Bobos Class, ni blog inayotoa taarifa mbalimbali za ajali na athari zake.Itangalia ajali zote lakini zaidi zile za barabarani.Mbali ya kutoa taarifa pia inatoa elimu jinsi ya kuzuia ajali na ushauri nasaha kwa waathirika,na jinsi wanavyoweza kupata msaada baada ya kupata athari.Pia Blog hii itaungana na wadau mbalimbali wanaohusika na masuala ya ajali kwa njia moja au nyingine, kuelimisha na kutoa ushauri.Blog inatumia Kiswahili na Kiingereza.
Monday, February 23, 2009
BREAKING NEWS!
Taarifa zilizopatikana punde zinasema kwamba, basi la abiria linalofanya safari zake kati ya Dar es salaam na Iringa linaloitwa Hekima limepata ajali baada ya kugongana na lori na kusababisha vifo vya watu 6 na majeruhi kadhaa. Taarifa zaidi zaidi zitarushwa baada ya kufanya mawasilaino na vyombo husika mkoani Iringa. Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi, Amin.
No comments:
Post a Comment