Monday, February 23, 2009

BREAKING NEWS!

Taarifa zilizopatikana punde zinasema kwamba, basi la abiria linalofanya safari zake kati ya Dar es salaam na Iringa linaloitwa Hekima limepata ajali baada ya kugongana na lori na kusababisha vifo vya watu 6 na majeruhi kadhaa. Taarifa zaidi zaidi zitarushwa baada ya kufanya mawasilaino na vyombo husika mkoani Iringa. Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi, Amin.

No comments:

Post a Comment