Friday, February 27, 2009

DOKEZO LA LEO!

"Wajibu wa kwanza wa mmiliki wa chombo ni kuhakikisha usalama wa gari na abiria, wajibu wa Serikali kupitia vyombo vyake ni kuhakikisha msafirishaji anatimiza wajibu wake kwa mujibu wa masharti ya leseni na sheria za usalama barabarani, madereva au makondakta ni wakala tu"

No comments:

Post a Comment