Mr. Bobos Class, ni blog inayotoa taarifa mbalimbali za ajali na athari zake.Itangalia ajali zote lakini zaidi zile za barabarani.Mbali ya kutoa taarifa pia inatoa elimu jinsi ya kuzuia ajali na ushauri nasaha kwa waathirika,na jinsi wanavyoweza kupata msaada baada ya kupata athari.Pia Blog hii itaungana na wadau mbalimbali wanaohusika na masuala ya ajali kwa njia moja au nyingine, kuelimisha na kutoa ushauri.Blog inatumia Kiswahili na Kiingereza.
Friday, February 27, 2009
Madereva wa Malori Wanapotawala njia!
Ni kitu cha kawaida kuona madereva wa malori wakitamba njiani na kutishia magari madogo kama inavyoonekana pichani. Wadau mnasemaje kuhusu hili?
No comments:
Post a Comment