Vyombo vya habari vinaendelea 'kupamba' kurasa kwa habari za ajali zaidi na zaidi. Jana taarifa zilizotanda ni juu ya ajali ya basi la Tando iliyotokea mkoani morogoro ambapo watu wawili walipoteza maisha na mmoja kujeruhiwa vibaya.
Wakati huo huo watu wawili waliokuwa katika pikipiki bao walipoteza maisha hapo hapo Morogoro kufuatia ajali ya gari.
No comments:
Post a Comment