Thursday, March 12, 2009

Mpaka lini Tutapangwa kama Hivi?Sasa Tuseme!



Hawa ni baadhi ya waliopoteza maisha baada ya ajali ya gari. Kwa kweli Inauma sana, kila mmoja anawajibika kukemea uzembe wa wale wote wanaochangia kutokea kwa ajali kama hii.Mimi nimekemea, wewe je?

No comments:

Post a Comment