Mr. Bobos Class, ni blog inayotoa taarifa mbalimbali za ajali na athari zake.Itangalia ajali zote lakini zaidi zile za barabarani.Mbali ya kutoa taarifa pia inatoa elimu jinsi ya kuzuia ajali na ushauri nasaha kwa waathirika,na jinsi wanavyoweza kupata msaada baada ya kupata athari.Pia Blog hii itaungana na wadau mbalimbali wanaohusika na masuala ya ajali kwa njia moja au nyingine, kuelimisha na kutoa ushauri.Blog inatumia Kiswahili na Kiingereza.
Wednesday, April 1, 2009
Du! Sasa hii kali!
Huyu mwendesha baiskeli alikutwa maeneo ya Kigoma, sijui wadau mnasemaje. Mimi nafikiri ingekuwa halali kwa Askari wa usalama barabarani kumtia nguvuni huyu bwana.
No comments:
Post a Comment