Monday, April 27, 2009

Jingine Tena..........No numbers!

Hapa linaonekana likiweka mafuta bila wasiwasi

Hapa linaanza kukata mitaa kwa nafasi!

Huu ni muendelezo wa ufuatiliaji wa haya magari ya takataka ambayo yanaonekana kukatiza mitaa ya jiji bila hata namba za usajili. Sijui wahusika wanayaona au vipi. Nimekuwa nikifuatilia na nitaendelea kufuatilia mpaka hapo wahusika watakapoona umuhimu wa kuyafuatilia.






1 comment: