Picha hizi zinaonyesha magari yakikutana uso kwa uso katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi(bofya picha kuona vizuri). Nimeshuhudia madereva wakikosanakosana mara nyingi kwa sababu kila mtu anajiona ana haki ya njia ya ziada. Wadau mnasemaje kuhusu hili?
No comments:
Post a Comment