Sunday, June 21, 2009

Inafurahisha!

Inafurahisha kuona kwamba konda wa daladala anajaza watu katika daladala lakini kwa kujua hilo yeye haweki kichwa chake ndani kwa kuwa anajua kwamba upumuaji ndani ya gari kama inavyoonekana pichani, ni shughuli pevu! Ni lini tutakuwa kama wenzetu wa Uganda ambao hawaruhusu kabisa abiria kujazana katika dalada?

No comments:

Post a Comment