Mr. Bobos Class, ni blog inayotoa taarifa mbalimbali za ajali na athari zake.Itangalia ajali zote lakini zaidi zile za barabarani.Mbali ya kutoa taarifa pia inatoa elimu jinsi ya kuzuia ajali na ushauri nasaha kwa waathirika,na jinsi wanavyoweza kupata msaada baada ya kupata athari.Pia Blog hii itaungana na wadau mbalimbali wanaohusika na masuala ya ajali kwa njia moja au nyingine, kuelimisha na kutoa ushauri.Blog inatumia Kiswahili na Kiingereza.
Saturday, July 25, 2009
Narok Bus Accident (Kenya)!
Two buses collided at dawn on Wednesday near Narok town in the Rift Valley leaving at least 22 people dead and 47 others seriously injured. Those injured were rushed to Narok District Hospital.
The bus christened Philomena which collided with another called Nyamisi Express
No comments:
Post a Comment