Wednesday, August 26, 2009

Australia Kusaidia Bajaj za Kubebea Wagonjwa!

Australia imesema itasaidia bajaj kwa ajili ya kubebea wagonjwa. Naibu Waziri Mkuu wa Australia, Dk Kim Hames alisema hayo jijini Dar es salaam alipokuwa akizungumza na Waziri wa Afya na ustawi wa Jamii, Prof. David Mwakyusa.

No comments:

Post a Comment