Mr. Bobos Class, ni blog inayotoa taarifa mbalimbali za ajali na athari zake.Itangalia ajali zote lakini zaidi zile za barabarani.Mbali ya kutoa taarifa pia inatoa elimu jinsi ya kuzuia ajali na ushauri nasaha kwa waathirika,na jinsi wanavyoweza kupata msaada baada ya kupata athari.Pia Blog hii itaungana na wadau mbalimbali wanaohusika na masuala ya ajali kwa njia moja au nyingine, kuelimisha na kutoa ushauri.Blog inatumia Kiswahili na Kiingereza.
Tuesday, August 18, 2009
Majeruhi wa Ajali Akipatiwa Matibabu MOI!
Baada ya kupata ajali na kuvunjika shingo, majeruhi akiwa amefungwa kifaa maalum cha kusaidia 'ku-stabilize' shingo na uti wa mgongo(Halo Ring, Crown or Vest Traction).
No comments:
Post a Comment