Mr. Bobos Class, ni blog inayotoa taarifa mbalimbali za ajali na athari zake.Itangalia ajali zote lakini zaidi zile za barabarani.Mbali ya kutoa taarifa pia inatoa elimu jinsi ya kuzuia ajali na ushauri nasaha kwa waathirika,na jinsi wanavyoweza kupata msaada baada ya kupata athari.Pia Blog hii itaungana na wadau mbalimbali wanaohusika na masuala ya ajali kwa njia moja au nyingine, kuelimisha na kutoa ushauri.Blog inatumia Kiswahili na Kiingereza.
Friday, September 18, 2009
Accident-Dar Roads!
(Copyright: River Springs ConneXions) Terrible,a motorcycle rammed into the side of this car!
(Copyright: River Springs ConneXions)
This accident occured yesterday along Morogoro road at Ubungo Plaza. The motorcycle driver had all legs broken and rushed to Muhimbili National hospital.
No comments:
Post a Comment