The accident occurred last night.
Mr. Bobos Class, ni blog inayotoa taarifa mbalimbali za ajali na athari zake.Itangalia ajali zote lakini zaidi zile za barabarani.Mbali ya kutoa taarifa pia inatoa elimu jinsi ya kuzuia ajali na ushauri nasaha kwa waathirika,na jinsi wanavyoweza kupata msaada baada ya kupata athari.Pia Blog hii itaungana na wadau mbalimbali wanaohusika na masuala ya ajali kwa njia moja au nyingine, kuelimisha na kutoa ushauri.Blog inatumia Kiswahili na Kiingereza.
Saturday, September 10, 2011
Breaking News: More 300 Feared Dead,A Ship Capsises in Zanzibar
More than 300 people are feared dead following a capsized ship in between Zanzibar and Pemba islands. To this hour, a source in Zanzibar said that about 270 passengers have been saved while about 50 dead bodies have been recovered. The source added that, most of those saved are children including a 7 months old baby.
My heart goes out to the relatives of those victims. Thanks.
ReplyDeleteGreetings from London.