Showing posts with label Accident. Show all posts
Showing posts with label Accident. Show all posts

Tuesday, August 18, 2009

Kiberenge Chagonga Daladala Dar Watu 23 Wajeruhiwa!

ZAIDI ya watu 20 jana walinusurika kifo katika eneo la kivuko cha reli kilichoko Barabara ya Mandela, Buguruni,baada ya kiberenge kugonga dalada iliyokuwa ikisanya abiria waliokuwa wakisafiri kati ya Mbagala na Ubungo.
Tukio hilo lilitokea saa 2:00 asubuhi jana wakati dereva wa daladala hiyo aina ya DCM akijaribu kuvuka reli huku kiberenge kikipiga honi ya kuomba njia.
Hata hivyo daladala hiyo yenye namba za usajili T523 AGL, haikumudu kuvuka, jambo lililosababisha kugongwa na kiberenge.
Watu kadhaa walijeruhiwa katika tukio hilo ambalo walilielezea kuwa lilitokana na
uzembe wa dereva wa daladala.
Kwa mujibu wa majeruhi, kabla ya ajali abiria walimsihi dereva asubiri ili kupisha kiberenge kipite, lakini hakuwasikiliza.
Mmoja wa majeruhi hao, Rajabu Mkwachu (43) mkazi wa Mbagala, alisema alikuwa ameketi kwenye kiti kilicho karibu na mlango na ghafla alishitukia kiberenge kikilisukuma daladala kwa meta kadhaa kutoka katikati ya kivuko cha treni.
“Tulipwa nje ya barabara, nilipoteza fahamu na baadaye nilikuta nikiwa hapa Amana, nimeumia kichwani lakini nimepoteza fedha zangu Sh400,000 na simu aina ya Nokia yenye dhamani ya Sh280,000,”alisema Mkwachu.
Baadhi ya watu walioshuhudia ajali hiyo, pia walimshutumu dereva wa daladala kuwa ndiye kiini cha ajali hiyo, kufuatia kitendo chake cha kutokuwa makini, alipofika katika eneo la kivuko.
Waandishi wa habari hizi washuhudia baadhi abiria waliojeruhiwa wakitafuta mali zao bila mafanikio.
Daladala hiyo imeharibika vibaya na kuna madai kuwa dereva wake, aliruka wakati kiberenge kilipoanza kuburuza gari.

Katika harakati za kujiokoa akijaribu kukimbia mkazi wa Vingunguti Salum Shabani (30) aliyekuwa akinywa chai katika eneo la karibu na ajali, alivamia sufuria la moto la chai na kumsabaishia majeraha makubwa.
Majeraha hayo yako mapajani na mikononi.
“Nilikuwa nakunywa chai nikasikia sauti za watu wakilia huku wengine wakiwa wameshika vichwa na kukimbia hovyo. Kwa hiyo nami nikaona ni kherini nikimbie, ndipo nikaingia katika sufuria la chai nikaungua. Baadaye nililetwa hapa (Amana) kwa matibabu," alisema
Shabani
Martha Paulo (42) mkazi wa Mbagala ambaye ameumia kifua, mgongo na kiuno, alishindwa kupata matibabu ya haraka kutokana na kukosekana kwa huduma ya x-ray katika Hospitali ya Amana. Hali hiyo ilisababisha majeruhi huyo, kuhamishiwa Muhimbili.
Wengine walioumia ni pamoja na Maua Mohamed Mzee aliyeumia miguu,Abasi Mzee (26),victor Kweka na Julius Eusebio, ambao hali zao ni mbaya. Mganga Mkuu wa Hospitali ya Amana, Willy Sangu, alikiri kupokea majeruhi 23 wa ajali hiyo.

Friday, August 7, 2009

Fire-Gutted Ships in Dar, Zanzibar Had No Insurance!

From Darius Mukiza.
THREE passenger ships of MV Pemba, MV Aziza I and MV Aziza II which caught fire recently in Dar es Salaam and Zanzibar respectively had no insurance cover, the 'Daily News' has established. MV Aziza I and MV Aziza II operated by Zanzibar Mkunazini caught fire in March this year while at Zanzibar port while MV Pemba was gutted at Dar es Salaam port a week ago. Speaking to this paper on telephone yesterday, the Director of Zanzibar Insurance, Hajj Idd, said the ships had been operating without insurance for a long time. “For example one of the Aziza ships had been grounded for more than a year at Zanzibar port without insurance,” he claimed. On a passenger-cum-cargo ship, Mv Pemba, Mr Hajj said the ship, too, had no insurance for more than a year. He explained that owners of such vessels had to bear the cost of repair in case of damages. Commenting on marine vessels operating without insurance, the Secretary of Surface and Marine Transport Regulatory Authority’s Consumer Consultative Council (Sumatra-CCC), Mr Oscar Kikoyo, said it was a criminal offence to own a vessel without insurance. He said in case of accident, passengers were supposed to claim compensation directly from the vessel owners. Mr Kikoyo said the compensation per head is 333 units which when converted into Euro, the maximum amount every victim is supposed to be paid is 544m/-. He said the compensation was according to the Merchant Shipping Act of 2003. Mr Kikoyo said it was unsafe for vessel owners not to insure their vessels because compensation to victims in case of accident was very high. MV Aziza I and MV Aziza II had the capacity to carry up to 1,000 passengers each and were plying the Dar es Salaam, Zanzibar and Pemba routes. Fire gutted the two ships as they were undergoing maintenance at Mtoni in Zanzibar. MV Pemba, operated by Azam Marine, was undergoing maintenance at the Dar es Salaam port.
Source: Daily News
My point: I cannot believe that such big companies had vessels operating for years without insurance cover!Anyway this is bongo, au vipi?

Wednesday, August 5, 2009

Airline Pilot Killed In Thai Runway Crash!

A pilot has been killed after his passenger plane skidded off a runway and hit a disused air traffic control tower on the Thai resort island of Ko Samui.

Two Britons were among four on board who broke their legs after the Bangkok Airways flight crashed into the empty structure while landing in rainy weather.
Almost half of the 72 people on board were hurt, though only six passengers and a co-pilot were taken to hospital.
Bangkok Airways confirmed two other Brits suffered minor injuries, alongside foreign nationals from Italy, Spain, Switzerland, France and Germany.
Kanikka Kemawutanond, of the Department of Civil Aviation, said the ATR72 twin-turboprop had 68 passengers, two pilots and two crew members on board.
"The pilot was killed when the plane hit the unmanned control tower," she said.



Saturday, July 25, 2009

Narok Bus Accident (Kenya)!

Two buses collided at dawn on Wednesday near Narok town in the Rift Valley leaving at least 22 people dead and 47 others seriously injured. Those injured were rushed to Narok District Hospital.

The bus christened Philomena which collided with another called Nyamisi Express


Nyamisi Express bus


Ann Magoka and her 2-year-old-son Shadrack
Taken from: Saturday Nation

Thursday, July 23, 2009

Abiria wa Treni Reli ya Kati Waponea Chupuchupu!

ABIRIA 380 wa treni ya Express waliokuwa wakitokea Kigoma kuelekea Dar es salaam wamenusurika kufa baada ya kupata ajali mkoani Tabora.
Ajali hiyo ilitokea usiku wa manane wa kuamkia juzi baada ya kichwa cha treni na mabehewa mawili kuanguka kati ya stesheni za malongwe na Tura mkoani Tabora.
Hata hivyo hakuna abiria aliyepoteza maisha wala kujeruhiwa na abiria wote walilazimika kurejeshwa mjini Tabora mapema baada ya ajali na kuondoka siku iliyofuatia.
Baadhi ya abiria wamelaumu kwamba tangu mwanzo wa safari ilionekana kwamba kichwa cha treni hiyo kilikuwa na matatizo lakini hakuna aliyeonyesha kujali. Pia abiria hao walilaumu kwamba wametelekezwa, wanalala na kushinda njaa pamoja na watoto wadogo.
Wengine wamesema ni wagonjwa na hawana msaada wowote wa dawa.
Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Reli (TRL) imeunda tume ya kuchunguza ajali hiyo.

Thursday, July 2, 2009

Conflicting Reports Over Plane Crash Survivor


The Associated Press says that initial reports that a 5-year-old boy had survived a jetliner crash in the Indian Ocean are now in question.
According to Rachida Abdullah, an immigrations officer in the Comoros, where the plane went down, it appears that the survivor is a 14-year-old girl, the AP says. Neither report could be independently confirmed.
The Yemenia Airbus jet with 153 people on board crashed into the Indian Ocean on Tuesday during an attempted landing in strong winds on the island nation. There was no word on other survivors.
(Photo of grieving relatives at Marseille airport by Claude Paris, AP)

Saturday, June 13, 2009

Agony of Kibaki Crash Families!

By Mutinda Mwanzia and David Nzia
The news struck the country sweltering in 2002 presidential election campaign heat like a thunderbolt. The road crash barely three weeks to the General Election that would give Kenya its third president, claimed two lives and left the man who would be the next commander-in-chief literally hanging on the tenterhooks.
That was President Kibaki, the National Rainbow Coalition’s presidential candidate, who would in a month take over the reins of power after what came to be called the ’Narc Dream’ whitewashed Kanu’s 40-year rule.
Seven years later, having won a controversial second and final term, and after countless sessions with doctors, President Kibaki still carries the scars of the accident. His walking gait and hand movement changed.
The physical pain and the torment of the heart, discernible from his face as he was rushed to Nairobi Hospital — on the evening of December 3, 2002, would forever remain the lingering memory of the country’s lowest moment — especially as conspiracy theorists stepped in with their spin.
But as the nation consumed the news of Kibaki’s troubled road to recovery including being sworn-in on a wheel chair, and with the slurred speech and symptomatic repetitive talk that is now history, one side of the story was forgotten.
It is the sad tale of the families of Mutungi Musau, who was a matatu tout, and Mutuku Muia, a metal welder, who were killed in the crash at Machakos junction of the Nairobi-Mombasa Highway.
The families say images of the President, whom they have not heard from, though fate and destiny let his life cross paths with their loved ones, albeit for a fleeting but irreversible moment, rekindles memories of the black December.
It stirs the well of tears shed as Narc danced to electoral victory as Kenya strode into a new chapter in history. Today, they just speak of how much they would wish they could reach Kibaki’s ear, if not for the Government’s support, just a word of consolation. In him they see a privileged person whom the cruel hand of fate brought so close to them, yet so far.
For now, as they grapple with their pain and loss, as well as the life of want and squalor, the man they would love to meet remains just an image on television screen, and the pages of newspapers.
Wipe away tears
The language of insurance and liability remains a hollow legal jargon — all they know is that Kibaki is in a position to change their lives. To them, this is not because he was responsible for the accident, for he, too, almost died. But they counted on him to wipe away their tears in solidarity.
That is why Musau’s uncle, 74-year-old retired driver Timothy Makovo, simply marvelled: "As the Head of State he has the powers to ask that they be compensated. His silence is not good."
"I was told Musau had been run over by a vehicle belonging to Kibaki and rushed to the scene to ascertain whether it was true … when I see the President talk on television I remember my brother. "He should personally be touched by our plight and talk to us," says the late Musau’s elder brother, Anthony Ndambuki.
Musau’s mother, Mama Kalondu Mutungi, 56, said: The Government only provided a coffin and a Land Rover to ferry the body from the mortuary in Machakos town to our home during the funeral… I feel we have been ignored since nobody cared for us after the loss. It is even more distressing that Kibaki is now the President. I wish I could have an opportunity to meet him and share my agony."
She added: "No amount of material or monetary help can replace a lost son, but at least the President should have shown some concern to the bereaved families. His silence is baffling."
This is the story that represents the children of two worlds, the life of privilege and want, as symbolised by the fact that as they wept, a day after the accident Kibaki was airborne — headed to London for specialised treatment. Today we go back in time and pick up their forgotten story, of crashed dreams and utter hopelessness, of minions whose hand nobody has come forth to pick.
blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker