Showing posts with label Roads. Show all posts
Showing posts with label Roads. Show all posts

Wednesday, May 13, 2009

Miundo Mbinu Duni!



Gari la mizigo likiwa limezama katika matope kufuatana na mvua zinazoendelea kunyesha katika sehemu mbalimbali za nchi (Source:Mwananchi)

Saturday, April 25, 2009

Mbunge Afariki Katika Ajali!

                                                                  Mh. Phares Kabuye(MP)
Mbunge wa Biharamulo kwa chama cha TLP Phares Kabuye pamoja na watu wengine wawili wamefariki katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Magubike wilayani Kilosa jana saa 1 asubuhi.
Gari lililopata ajali lina namba za usajili T 934 ADA la kampuni ya RS Investment kama
linavyoonekana pichani.Lilikuwa likitoka Bukoba kuelekea Dar es salaam.
Inasemekana kwamba dereva wa basi alimpa "deiwaka" kondakta wake ambapo lilimshinda na kuacha njia akiwa katika mwendo wa kasi na hatimaye kupinduka. Kondakta na dereva wake hawajulikani walipo baada ya kukimbia (Picha:Bunge na Habari Leo na Bunge).
yES! Kilio changu kipo pale pale, tuungane kutokomeza jinamizi la ajali.

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker