Sunday, July 19, 2009

Hatari!

Hii ni asubuhi mapema, mabasi ya kutoka Dar es salaam kwenda sehemu mbalimbali za mikoani yanapotoka eneo la ubungo. Kwa kawaida huwa yanashindana na kukimbia kwa kasi sana kama inavyoonekana pichani.Hali inakuwa tishia kwa watumiaji wengine wa barabara hasa ukizingatia kwamba, muda huo wa asubuhi maeneo hayo yanakuwa 'busy' sana.

No comments:

Post a Comment