Monday, January 17, 2011

Dar es salaam Roads-So Strange!

As I was driving along Morogoro Road, the car infront of me with registration number T297 ACS Toyota mark II I saw something so strange. As you can see in the photo, adjacent to the white Mark II is a pickup.On that material day, the passanger of the pickup threw a bottle of mineral water on the road(as usual), to my surprise the driver of Mark II T297 ACS picked the bottle and handed it over to the passanger of that pickup. I've never seen someone so environmental concious, that is something others should emulate.
(Jamani, niliona kitu cha kushangaza kidogo nikaona nishee nanyi. Nikiwa Morogoro road karibu na shule ya jangwani, abiria wa pick alitupa chupa ya maji barabarani baada ya kumaliza kunywa maji. ghafla dereva wa gari mark II iliyopo mbele yangu alitoka katika gari,akaokota hiyo chupa na kumrudishia jamaa aliyeitupa kwamba anachafua mazingira. Ni kitu kigeni kwa Tanzania. Lakini ni mfano wa kuigwa kuona tuna watu wanajali mazingira kiasi hicho. Pichani inaonekana hiyo Mark II yenye namba T297ACS na pickup inaonekana kulia kwake mbele kidogo.

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker