Tuesday, January 27, 2009

AJALI ZAENDELEA KUUA

Wiki iliyopita, ajali ilyotokea mkoa wa Arusha iliteketeza maisha ya wananchi za idi ya 20 kufuatia ajali kati ya lori na basi la abiria aina ya Coaster. kwa weli inasikitisha sana kuona maisha ya watanzania kama hawa wanateketea.

Ni katika kipindi hicho hicho ajali iliteketeza watu wanne baada ya gari kuwafuata walipokuwa wanatembea kwa miguu maeneo ya mwananyamala. Tunachotaka kuonyesha hapa ni kwamba, kiukweli ajali zinaua watanzania wengi amabao kwa njia moja au nyingine wanategemewa sana na taifa hili.

Tunawapa pole ndugu wa wale waliopoteza maisha-Mr.Bobos Class Team.

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker