Thursday, July 16, 2009

Mwafaka Madereva Wa Daladala, Serikali Wakwama Kimara!

KIKAO kati ya Umoja wa Madereva na Makondakta wa Daladala za Kimara Kwa Nyoka (UMADEKO) na Mwenyekitiwa Serikali za Mitaa Gabriel Kilave, Umeshindwa kufikia mwafaka.
Kikao hicho kilitokana na wananchi kupinga nauli ya sh. 300 wanayotozwa kwa madai kuwa barabara iliyolalamikiwa na madereva hao imeshakarabatiwa, hivyo hawapaswi kulipa nauli hiyo.
Awali UMADEKO ulilalamikia barabara mbovu iliyosababisha magari kuvunjika 'springi' na kutaka kuongezwa kwa nauli hadi sh.300 ili kufidia gharama za kutengeneza magari yao.
Akizungumza katika kikao hicho Kilave alisema amelazimika kuitisha kikao hicho kutokana na malalamiko ya wananchi ili kufikia muafaka kwa nauli inayotozwa kwa sasa.
Source: Mwananchi

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker