Thursday, June 25, 2009

Ajali Yaua 7 na Kujeruhi 41 Mbeya!

WATU saba wamefariki dunia na wengine 41 kujeruhiwa vibaya baada ya Lori aina Fuso lenye namba za usajili T855 ACJ kugongwa kwa nyuma na lori aina ya SCANIA lenye namba za usajili T 463 kupinduka korongoni katika mlima wa Iwambi kuelekea Mbalizi mkoani Mbeya. Mashuhuda wa ajali hiyo wamesema kuwa lori aina ya Fuso lilibeba watu waliokuwa wakitokea mazishini ambalo lilikuwa mbele ya SCANIA lililokuwa katika mwendo wa kasi hivyo dereva wa gari hilo alishindwa kulimudu ndipo tela la gari lake lilipoligongalori na kusababisha kuanguka korongoni.
Photo Source: Food for thought blog

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker