Thursday, February 19, 2009

EPUKA MATUMIZI YA SIMU ZA MKONONI UNAPOENDESHA


Ni kitu ambacho watu wengi wanakichukulia kuwa kidogo na wanakidharau lakini madhara yake ni makubwa sana! Kupokea simu ya mkononi au kutuma meseji unapoendesha!

Utafiti uliofanywa na Harvard University unaonyesha kwamba nchini Marekani, kila mwaka zaidi ya watu 200 hufariki dunia na wengine 500,000 hupata majeraha mbalimbali kutokana na ajali zinazosababishwa na matumizi ya simu za mkononi aidha wakiongea au kutuma meseji wakiwa wanaendesha.
Pichani kulia ni moja ya ajali ambazo zilitokea dreva alipokuwa anaendesha na kutuma meseji!
UNAPOENDESHA USIONGEE NA SIMU YA MKONONI AU KUTUMA MESEJI, UTAOKOA MAISHA!

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker