Tuesday, February 17, 2009

KWA TAKWIMU HIZI TUSIMAME KIDETE!

Waziri Mkuu Mizengo Pinda alipokuwa akiahirisha Kikao Cha 14 cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alitoa takwimu kwamba mwaka jana kulikuwa na ajali za barabrani 20,148 ikiwa ni wastani wa ajali 55 kila siku au ajali 1,679 kwa mwezi na kusababisha jumla ya vifo vya watu 2,924 na kujeruhii wengine 17,825.
Tangu tuanze mwaka huu wa 2009, jumla ya ajali 252 zimeishatokea na kusababisha vifo 185 na majeruhi 387.
Hoja yangu: Takwimu hizi hakika zinaogofya na ni muhimu hatua madhubuti zichukuliwe ikiwa ni pamoja na adhabu kali dhidi ya wahusika ili iwe mfano kwa wengine.

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker