Saturday, February 7, 2009

SUMATRA YAANZA KUNG'ATA

Mamlaka ya Usafirishaji Majini na Nchi Kavu(SUMATRA) wameanza zoezi la operesheni ya kuondoa magari madogo ya abiria au "vipanya" katikati ya jiji la Dar es salaam ambayo leseni zake zimeisha muda.
Kwa mujibu wa Afisa mwandamishi wa Mamlaka hiyo Bwana Walukani Luhamba, wame amua kufanya zoezi hilo pamoja na kukamata magari mengine yenye makosa mbalimbali kama vile kukatisha ruti, kutoza nauli za juu, kunyanyasa wanafunzi, sare chafu na lugha chafu.
Katika kamata kamata hiyo magari 100 yameshakamatwa na wamiliki wake watatozwa faini kwa mujibu wa sheria. Mr. Bobos Class tunapongeza jitihada hizo kwani tuna imani kwamba itasaidia kupunguza ajali zisizo za lazima.(habari kwa hisani ya dullonet.com)

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker