Monday, February 23, 2009

Watanzania huwa Tunashangaa badala ya Kutoa Msaada!


Nadhani wadau mtakubaliana nami kwamba, mara nyingi inapotokea ajali huwa tunajazana na kushangaa badala ya kutoa msaada kwa majeruhi. Na wengine hudiriki hata kuwaibia majeruhi na maiti badala kutoa msaada. Nimeshuhudia katika matukio ya ajali watu wanajazana na kumzunguka majeruhi kiasi cha kushindwa kupumua! Katika ajali inayoonekana pichani, ilitokea maeneo ya Vigwaza Mkoa wa Pwani. Wananchi walijazana kiasi cha kuwafanya majeruhi kupumua.

Hoja yangu: Taifa lina jukumu la kuwafundisha watanzania kutoa huduma ya kwanza(First Aid) ili kuokoa maisha.

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker