Thursday, February 5, 2009

WANNE WALAZWA KWA AJALI MOI

Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) leo imepokea usiku wa kuamkia leo wamepokea wagonjwa wa ajali wanne kwa mujibu wa Afisa Uhusinao wa Taasisi hiyo. Waliopokelewa ni Sefu Lenjeka(42) ambaye alipokewa MOI kutoka Hopitali ya Mwananyamala ambaye aliumia kichwa (Mild Head Injury), mwingine ni Charles Lupande(19) aliyevunjika mfupa wa paja(femur), Juma Mwadia(29) ambaye alipokelewa kutoka Hopitali ya Amana na kuumia mguu wa kulia, na wa mwisho ni Michuzi Chande ambaye amefahamika kuwa ni mgonjwa wa akili ambaye aligongwa na gari na kuumia mguu wa kulia na kupata maumivu ya kichwa (head injury) hali iliyosababisha apokewe kama mgonjwa asiyetambulika (unknown male) lakini baadaye alitambuliwa na ndugu.

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker