Tuesday, February 24, 2009

MAITI ZAIDI ZATAMBULIWA

Maiti wengine zaidi wametambuliwa kutokana na ajali ya Basi la Hekima, maiti waliotambuliwa ni dereva wa basi Jackson Kahogi, Yules Sanga, Anthony Sanga na utingo wa lori la mafuta aliyetambuliwa kama Ahadi Lwambano.
Habari zinaendelea kutufikia kwamba majeruhi wanaendelea vema.

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker