Tuesday, February 17, 2009

JIRANI ZETU NAO WAMO!




Kwa majirani zetu inaonekana na wao hawapo nyuma, takwimu zilizotolewa nchini Zambia zinaonyesha kwamba kila mwaka kuna watu 13,000 hupoteza maisha kutokana na ajali za brabarani. Pichani ni ajali iliyotokea katika jimbo la Ndola,dreva wa gari dogo na abiria wake aliyekuwa amekaa kiti cha nyuma walipoteza maisha papo hapo, na dreva wa basi walilogongana nalo na abiria wake wote walikuwa salama.
Chanzo cha ajali, inasemeka kwamba baada ya kufika katika T-junction, gari dogo lilipata hitilafu ya breki hivyo kushindwa kusimama na kukutana uso kwa uso na basi hilo.
Hoja yangu: Ni vema kuhakikisha kwamba gari linafanyiwa matengenezo ya mara kwa mara ili kuepukana na ajali kama hizi.

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker