Saturday, February 21, 2009

WATANZANIA TUCHOKE KUSIKIA HABARI ZA AJALI!


Nafikiri watanzania inabidi tufike mahali na kuamua kwamba sasa tumechoka kusikia habari za ajali kila kukicha. Kama inavyoonekana pichani,gari hili no bovu hata kwa kuangalia kwa macho tu. Lakini abiria wamekubali kurundikwa kama mihogo. Je, ikitokea ajali katika mazingira kama haya, ni watu wangapi watapoteza maisha?(picha kwa hisani ya gazeti la mwananchi)

Hoja: Watanzania tufike mahali na kuamua kwamba tumechoshwa na hizi habari za ajali na tuchukue hatua madhubuti za kuzia ajali.

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker