Thursday, May 7, 2009

Madereva Wanaangalia Taa za Magari Yao?






Ni madereva wangapi ambao wanajua umuhimu wa taa za nyuma za gari? Mara nyingi nimekuwa nikifuatilia magari mbalimbali yanapita katika barabara za jiji la Dar es salaam na matokeo ni kama inavyoonekana katika picha, magari mengine hayana kabisa hizo taa. Je,wakifunga breki ghafla na kugongwa nyuma watamlaumu nani?Inafurahisha kama unaendesha ukiifuata gari ambayo taa zake zinawaka zote na zina mwanga mzuri-'Bright lights'- kama baadhi ya picha zinavyoonyesha hapa.

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker