




Ni madereva wangapi ambao wanajua umuhimu wa taa za nyuma za gari? Mara nyingi nimekuwa nikifuatilia magari mbalimbali yanapita katika barabara za jiji la Dar es salaam na matokeo ni kama inavyoonekana katika picha, magari mengine hayana kabisa hizo taa. Je,wakifunga breki ghafla na kugongwa nyuma watamlaumu nani?Inafurahisha kama unaendesha ukiifuata gari ambayo taa zake zinawaka zote na zina mwanga mzuri-'Bright lights'- kama baadhi ya picha zinavyoonyesha hapa.
No comments:
Post a Comment