Thursday, May 14, 2009

Stranded Driver in the Middle of the the Road!

Hii ilitokea jana usiku katika makutano ya Sam Nujoma Road na barabara itokay Chuo Kikuu Mlimani. Eneo hili lina taa za kuongozea magari, lakini kutokana na msongamano wa magari huwa inatokea kwamba kila mtu anajiona ana haki ya kupita hata kama taa nyekundu inawaka.
Anayeonekana pichani ni dereva ambaye alichoshwa na uhuni uliokuwa unafanyika, akaamua kuacha gari yake na kuanza kuongoza magari.Je lini madereva bongo watastaarabika?

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker