Wednesday, May 13, 2009

Miundo Mbinu Duni!



Gari la mizigo likiwa limezama katika matope kufuatana na mvua zinazoendelea kunyesha katika sehemu mbalimbali za nchi (Source:Mwananchi)

2 comments:

  1. Nategeme hakuna maafa. maana inaonekana walikuwa na wakati mgumu kweli.

    ReplyDelete
  2. Ni kweli kipindi hiki cha mvua si cha kufanya safari ambazo si za lazima.Unaweza kukaa njiani kwa zaidi ya siku 5.Madereva wa malori kama haya huwa na roho ngumu sana, manake huwa wanakwama kwa muda mrefu sana.

    ReplyDelete

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker