Friday, April 3, 2009




Ajali Mpaka lini?

Wakazi wa Chalinze Mkoa wa Pwani wakilishangaa tela lenye namba za usajili T 387 AHT lililokuwa kwenye gari lenye namba za usajili T 294 AHU ambapo lilikatika na kuacha njia na kuingia katika nyumba ya mmoja wa eneo hilo. Kwa bahati nzuri hakuna Hakuna mtu aliyejeruhiwa katika ajali hii .
Mtazamo wangu: Sijui ajali zimhusishe nani ili tuzinduke na kuchukua hatua?
(Picha na habari imechukuliwa kutoka blog ya Faustine's Baraza )

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker