Thursday, April 9, 2009

Daladala ni 'Headache' Jamani!


Katika pitapita mitaani, nilikutana na daladala hii ambayo dereva wake pamoja na wanaomsukuma walifanya kitu cha ajabu sana kwani walisukuma daladala hili na kukatisha barabara bila kujali watumiaji wengine wa barabara! Bajaj inayoonekana pembeni kama isingekuwa na breki nzuri basi tungeshuhudia ajali ya kutisha.

Nafikiri kuna haja ya askari wanaopiga patrol kuzungukia hata njia ambazo zipo mbali au nje ya barabara kuu! Hii ilikuwa njia ya Mabibo jirani kabisa na geti la Chuo cha Usafirishaji!

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker