Sunday, April 26, 2009

Ujumbe Kwa TANROADS! Jangwani Area!

Kaazi kweli kweli!
Hapo jee?
Niingie nisiingie?Wenye magari madogo wajishauri!

Tumepiga kelele na tutaendelea kupiga kelele kuhusu hizi feeder roads,kwani zinatusaidia sana kukwepa misongamano ya magari ambayo inachosha na kusababisha upotevu wa masaa mengi ya kuzalisha.
Picha zinaonyesha barabara inayopitia Jangwani hadi kigogo,Mabibo na kutokezea Ubungo maziwa,lakini inavyoonekana pichani ni kipindi ambacho mvua hunyesha, ni dhughuli pevu kupita maeneo hayo.
Nafikiri TANROADS na wadau wote wanaliona hili, iwapo njia hii itatengenezwa kwa kiwango cha lami, nina uhakika hizi tunazoita foleni zitakuwa historia hapa Dar (Picha kutoka Blogu ya Michuzi).

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker