Sunday, April 12, 2009

Breaking News!

Habari zilizonifikia hivi punde kutoka kwa abiria aliye ndani ya Basi la Al Saedy kuelekea Dodoma(12.30pm) zinasema kwamba katika eneo la Mdaula mkoani Morogoro, Kuna gari la kubebea mafuta(Tanker) linawaka moto lakini cha kusikitisha ni kwamba, hakuna njia yoyote ya kuzima moto huo. Watu waliopo eneo hilo wamekuwa wakiangalia tu hawana cha kufanya.Inasikitisha!

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker