Sunday, April 19, 2009

Daladala ni 'Headache' Jamani 2!


Vurugu za daladala wakati wa usiku zinatisha jamani!Picha hii imechukuliwa usiku wa leo maeneo ya 'Ubungo mataa' kwa kawaida njia hiyo ni ya magari mawili kila upande lakini hapo utaona magari sijui matatu au manne katika njia hiyo. Je, namna hii ajali zitakosekana? Na wanafanya hivyo wakijua kwamba muda huo askari wa usalama barabarani ni aghalabu kupatikana.

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker