
Pichani ni barabara iliyotengenezwa kwa kiwango cha lami hivi karibuni inayotokea Magomeni Mwembe Chai kwa Sheikh Yahya Jirani na Mwembechai Petrol Station. Sasa hivi barabara hii imepunguza sana msongamano,jitihada hizi zikifanyika kwa kutengeneza 'feeder roads' nyingine, itasaidia sana kuondoa msongamano.Ni matumaini yangu TANRODS wanaliona hilo!
No comments:
Post a Comment