Thursday, April 23, 2009

Wizi wa Mifuniko ya Mashimo ya Maji Machafu!

Sehemu mbalimbali za jiji la Dar es salaam na baadhi ya mikoa kama Tanga imekumba na wimbi la wizi wa mifuniko ya mashimo ya maji mchafu jambo ambali ni tishio kwa watembea kwa miguu na hata magari kama inavyoonekana pichani.
Baadhi ya magari yameharibika vibay baada ya kuingia katika mashimo hayo, na mengine yamegonga hata watu baada ya kuingia katika mashimo na kupoteza mwelekeo.
Inasemekana kwamba, mifuniko hiyo imeuzwa kwa wanaofanya biashara ya vyuma chakavu, na wengine wanasema kwamba huwa inauzwa kwa wajenzi wapya(photo from internet).

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker