Kama zilivyo post zangu zilizopita kuhusu magari ya takataka, leo tena nimekutana hili likiwa limepaki eneo la majeneza pale njia ya kuelekea muhimbili. Mbali na makosa mengine kama vile kuegesha eneo ambalo haliruhusiwi, hili la kukosa namba ni kosa kubwa sana! Bado najiuliza kama wanapopita barabara kubwa askari wa usalama barabarani hawaoni?

No comments:
Post a Comment