Friday, April 24, 2009

Ujumbe Kwa TANROADS! Eneo Korofi!

Katika jitihada za kuhakikisha feeder roads zinafanyiwa matengenezo na kutumiwa na madereva ili kupunguza ajali,nimekuwa nikizifuatilia na kuzitumia hizi feeder roads mbalimbali. Kuna hii ya kutokea OilCom mwembechai kupitia Grand Hotel, DDC Magomeni Kondoa hadi Kawawa Road, narudia tena kwamba hii ni barabara muhimu kama itafanyiwa matengenezo. Kuna eneo korofi lililopo mbele ya DDC MAgomeni Kondoa ambalo majiu hutama mwaka mzima(Pichani).Mvua ikinyesha linakuwa dimbwi kubwa sana ambalo si rahisi kwa magari madogo kupita. Wahusika watuambie, kuna mipango gani!

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker