Nafikiri mamlaka husika, kama ni DAWASA au TANROADS au zote kwa pamoja, zichukue hatua za kurekebisha hali hiyo kwani watu hupata usumbufu na kupoteza mali au mali zao kuharibika.(Picha kutoka Bongo Pix blog).
Mr. Bobos Class, ni blog inayotoa taarifa mbalimbali za ajali na athari zake.Itangalia ajali zote lakini zaidi zile za barabarani.Mbali ya kutoa taarifa pia inatoa elimu jinsi ya kuzuia ajali na ushauri nasaha kwa waathirika,na jinsi wanavyoweza kupata msaada baada ya kupata athari.Pia Blog hii itaungana na wadau mbalimbali wanaohusika na masuala ya ajali kwa njia moja au nyingine, kuelimisha na kutoa ushauri.Blog inatumia Kiswahili na Kiingereza.
Thursday, April 16, 2009
Hii ndiyo Bongo Bwana!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
No comments:
Post a Comment