Friday, April 24, 2009

Baada ya kupoteza Mkono!

Yasin amepoteza mkono wa kulia na baadhi ya vidole vya mkono wa kushoto
Yasin akielezea mkasa jitihada zake za kupata mkono bandia.

Yasin Ali(43) anasema anapata shida sana katika jitihada zake za kupata mkono wa bandia baada ya kupoteza mkono wake katika ajali iliyotokea mwaka 2003. Anasema kwamba, ajali ilimwacha akiwa hana mkono wa kulia na baadhi ya vidole vya mkono wa kushoto pia vilikatika.
Anasema amejitahidi sana kupata mkono bandia lakini jitihada zake zimegonga mwamba kwa sababu gharama ndio kikwazo kikubwa. mkono huo unauzwa Sh. 1,600,000 kufuatana na profoma invoive aliyokuwa nayo kutoka KCMC Moshi.
Yasin ameanza jitihada za kuwatafuta wasamaria wema ili waweze kumchangia aweze kutapata mkono huo. Kama umeguswa na utahitaji kumsaidia Yasin, tafadhali wasiliana nami nitakupa mwongozo wa jinsi ya kumpata.
(Yasin Ali,43, lost his right arm and some few fingers of  his right arm following motors traffic accident in 2003. To date he is stuggling to raise Tanzanian shilling 1.6million which is about 1500 US dollars for an artificial arm,but in vain)

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker