Wednesday, March 25, 2009

Agongwa na gari na kufa papo hapo!

Ajali ilitokea katika eneo la Mbezi Kibanda cha mkaa mwanaume mmoja ambaye umri wake unakadiriwa kuwa miaka 30 na 35 aligongwa na gari(hit and run) na kupotesha maisha papo hapo.
Kamanda wa Polisi mkoa wa kinondoni Mark Kalunguyeye alisema tukio hilo lilitokea wakati gari ambalo halikufahamika lililokuwa likiendeshwa na dereva asiyefahamika likitokea Mbezi Mwisho kuelekea kimara, lilipofika eneo hilo ndipo likamgonga mtu huyo.
Maiti ya marehemu ilihifadhiwa katika hospitali ya Mwananyamala.

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker