Sunday, March 8, 2009

Shimo la kudumu Magomeni Mapipa!

Mti unaoonekana pichani sio kwamba umeota katika lami, bali umechomekwa na msamaria mwema katika katika shimo kubwa lililopo katikati ya barabara eneo la Magomeni Mapipa ili kuepusha ajali ya watu kuzama au magari . Hilo shimo lipo hapo kwa takriban mwaka mzima sasa. Je, wahusika wanasubiri maafa yatokee?

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker