Saturday, March 28, 2009

Mandela Road yafungwa na lori baada ya ajali!
Leo jioni ilikuwa kizazaa baada ya lori lenye tela kuanguka kutokana na kile kilichoonekana kushindwa kwa dereva wake kulimudu kutokana na tatizo la kiufundi lilijitokeza katika gari hilo. Kilichotokea ni foleni kubwa sana kutoka njia panda ya Tabata hadi Ubungo na Ubungo hadi Shekilango na ubungo mataa hadi Mlimani City.
Kilichoonekana ni jiji kukosa 'winchi' kubwa ya kunyanyua magari mazito kama hilo!

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker