Wednesday, March 25, 2009

Temeke Walilia Matuta Barabarani!

Ni baada ya ajali kuzidi.
Wakazi wa maeneo ya Temeke kwa maganga hususan wanaotumia barabara ya Dk Omar Ali Juma,wameitaka serikali kuongeza matuta katika barabra hiyo ili kupunguza ajali ambazo zimekuwa zikitokea mara kwa mara.
Akiongea na nipashe kwa niaba ya wakazi hao, kaimu mwenyekiti wa mtaa wa maganga, Hussein Salum, amesema suluhisho la ajali ambazo zimekuwa zikichukua roho za raia wengi wa eneo hilo ni kuongeza matuta katika barabara hiyo ili magari yasiende kwa kasi kama ilivyo hivi sasa(Nipashe).

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker