Sunday, March 29, 2009

AJALI YA TRENI!!


Kuna taarifa kwamba imetokea ajali ya treni mkoani Singida ambapo treni ya abiria imegongana na treni ya mizigo. Habari za awali zinasema kwamba, ajali ilitokea majira ya saa 10 alfajiri.

Waliopoteza maisha inasemekana ni 16, na maiti nyingine kadha zimekandamizwa na mabehewa hivyo kufanya utaratibu wa kuzitoa kuwa mgumu sana.

Taarifa zaidi zitawajia pindi zitakapopatikana.

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker