Tuesday, March 3, 2009

TAHADHARI!

LILE WIMBI LA VIJANA WANAOVAMIA WATU WAKIWA KATIKA FOLENI ZA MAGARI KATIKA SEHEMU MBALIMBALI ZA JIJI LA DAR ES SALAAM KWA KUWATISHIA KWA MAPANGA NA MASHOKA, SASA LIMEANZA KUFANYA UHALIFU HUO MAENEO YA JANGWANI . LEO MAJIRA YA SAA 3 ASUBUHI KATIKA FOLENI YA JANGWANI ALIVAMIWA DADA ALIYEJULIKANA KWA JINA MOJA TU LA EDDA, AKIWA ANAENDESHA GARI AINA YA SUZUKI VITARA.VIJANA HAO WALIDAI KUPEWA PESA, SIMU NA VITU VINGINE VYA THAMANI. HUYO DADA AKIWA NA WENZAKE WAWILI, WALIONYESHA KUPINGA AMRI HIYO NA NDIPO VIJANA KAMA 10 WALITOA MAPANGA NA MASHOKA NA KUWATISHIA. BAADA YA KUONA USALAMA WAO UPO HATARINI, WALIAMUA KWAACHIA HANDBAGS NA HAO VIJANA WAKATOKOMEA POLE POLE BILA HOFU YOYOTE.
USHAURI: FUNGA MADIRISHA YA GARI UNAPOKUWA KATIKA FOLENI, JAPO KATIKA MAENEO MENGINE VIJANA HAO INASEMEKANA HUDURIKI HATA KUVUNJA VIOO VYA GARI ILI KUTIMIZA AZMA YAO.

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker