Monday, March 23, 2009

AJALI ZAIDI, MOROGORO WANNE WAPOTEZA MAISHA!

Vyombo vya habari vinaendelea 'kupamba' kurasa kwa habari za ajali zaidi na zaidi. Jana taarifa zilizotanda ni juu ya ajali ya basi la Tando iliyotokea mkoani morogoro ambapo watu wawili walipoteza maisha na mmoja kujeruhiwa vibaya.
Wakati huo huo watu wawili waliokuwa katika pikipiki bao walipoteza maisha hapo hapo Morogoro kufuatia ajali ya gari.

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker